Tuesday, September 18, 2012

HALMASHAURI ZITAKAZOTUMIA FEDHA ZA TELE KWA TELE KWA MATUMIZI YASIYOKUSUDIWA KUKIONA-RC LINDI


Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,akiwautubia washiriki wa mkutano wa kamati ya ushauri ya Mkoa (RCC)ambapo yeye ni mwenyekiti wake,mambo mbalimbali ya maendeleo ya Jamii na kiuchumi yalijadiliwa.Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa wa Lindi hivi karibuni.
alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5789487576635312114" />
Meneja mwakilishi wa NHIF ofisi ya Mkoa wa Lindi,Fortunata Raymond,akitoa mada kuhusu utekelezaji wa shughuli za mfuko huo katika Baraza la Ushauri la Mkoa.

Washiriki wa kikao cha baraza la ushauri la Mkoa ambao ni Wakuu wa Wilaya wakifuatilia kwa makini hotuba ya mwenyekiti wa mkutano huo ambaye ni mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila.

Waheshimiwa wabunge wa Mkoa wa Lindi ni miongoni wa wadau wakubwa kwenye Mkutano wa Baraza la Ushauri wa Mkoa,pichani Mhe. Zainab Kawawa akichangia hoja kwenye mkutano huo. (picha Na. Paul Marenga)

No comments:

Post a Comment